Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tuzo za EJAT kutolewa baada ya Covid 19

Jumatatu , 7th Sep , 2020

Tuzo za umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) mwaka 2020 zimechelewa kutokana na kuwepo kwa ugonjwa unaosababisha homa ya mapafu wa Covid 19 ambao ulisababisha kuzuia mikusanyiko.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani.

Kufuatia mlipuko huo sherehe hizo ziliahirishwa mara mbili ambayo pia imesababisha changamoto katika ukusanyaji wa rasilimali fedha.

Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga wakati wa kuwaapisha majaji watakaozipitia kazi ziizowasilishwa kwaajili ya kushindanishwa.

“Jumla ya kazi 450 zimewasilishwa kushindanishwa katika makundi 21 ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) 2019”, amesema Kajubi.

Akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wateule, mwenyekiti wa kamati ya maadili ya MCT, Jaji Mstaafu Juxon Mlay amewataka kufanya kazi hiyo kwa uadilifu ili kuwe na ushindani utakaoleta tija katika tasnia ya Uandishi wa Habari.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali