Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uandikishaji BVR mikoa ya Kusini wavuka malengo

Jumamosi , 6th Jun , 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania NEC imesema imevuka malengo ya uandikashi wapiga kura kwa mfumo wa BVR katika mikoa ya Lindi, Ruvuma na Iringa ambayo wamemaliza uandikishaji mwezi uliopita.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania NEC imesema imevuka malengo ya uandikashi wapiga kura kwa mfumo wa BVR katika mikoa ya Lindi, Ruvuma na Iringa ambayo wamemaliza uandikishaji mwezi uliopita.

Akizungumza na EATV, Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA wa Tume hiyo, Dkt. Sisti Cariah amesema mkoani Lindi makairio yalikuwa kuandikisha watu 518, 230 lakini wameandikisha wapiga kura 569,261.

Ruvuma makadirio yalikuwa 783, 290 lakini walioandikishwa ni 826,779 wakati Iringa waliopangwa kuandishwa ni 525, 015 lakini walioandikishwa ni 526,006.

Kwa upande wa Mtwara Dkt Cariah amesema kuwa makadirio yalikuwa ni kuandikisha watu 703, 118 lakini walioandikishwa ni 682, 295.

Cariah amesema zoezi la uandikishaji linaendelea vizuri katika mikoa nane ya Katavi, Rukwa, Mbeya ,Dodoma ,Kagera ,Singida ,Tabora na Kigoma.

Amewataka wananchi kujiandaa kuandikishwa katika mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Shinyanga, Simiyu na Mara ambako zoezi hilo litaanza June 9, mwaka huu.

Jumla ya mikoa mitano imekwishakamilisha zoezi hilo, ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma, Iringa na Njombe.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi