Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchaguzi ukiwa huru Rais Samia atashinda - Lipumba

Alhamisi , 19th Mei , 2022

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba amesema iwapo uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 utakuwa huru na wa haki na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akashiriki katika uchaguzi huo atakuwa na nafasi nzuri ya kushinda 

Profesa Lipumba ametoa kauli hiyo leo Mei 19 kwenye mkutano wa hadhara katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora ambapo Lipumba amesema kwa kazi nzuri anayoendelea kuifanya Rais Samia ana nafasi nzuri ya kungara katika uchaguzi huo.

"Ombi langu ni kwamba katika uchaguzi unaokuja wa 2025 tusirejee kile ambacho Rais mstaafu Kikwete alichokiita Tsunami ya 2020, tufanye uchaguzi ulio huru na haki na kwa kazi kubwa unayoifanya naamini kabisa ukishiriki uchaguzi huo na ukawa huru na haki una nafasi ya kushinda uchaguzi huo" amesema Profesa Lipumba.

Aidha Kiongozi huyo wa upinzani amesema anaamini katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia ataendelea kuijenga Demekorasia ya nchi kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya maendeleo huku akimshukuru kwa jitihada zinazioendelea ikiwemo za kukutana na vyama vya siasa na wadau mbalimbali

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa