Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uhamisho wa aina hii kwa walimu wapigwa marufuku

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Kufuatia kuwepo kwa malalamiko ya upungufu wa walimu katika maeneo ya vijijini mkoani Morogoro, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loatha Ole Sanare amepiga marufuku walimu waliopo maeneo ya vijijini kuhamishiwa manispaa ya Morogoro bila kufuata utaratibu.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loatha Ole Sanare.

Mkuu huyo wa Mkoa ametoa agizo hilo  kwenye kikao kilichowakutanisha Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa halmashauri pamoja na maafisa taaluma wa halmashauri zote mkoani humo, ambapo amesema kuwa hali hiyo ni moja ya sababu inayochangia baadhi ya shule kufanya vibaya kutokana na upungufu wa walimu.

Ole Sanare ameongeza kuwa, uhamisho usiofuata taratibu umechangia kuwepo kwa upungufu mkubwa wa walimu kwenye shule za msingi na sekondari zilizopo kwenye maeneo hayo.

Aidha Mkuu wa Mkoa Ole Sanare amesema kuwa amepata taarifa ya kutokuwepo kwa mahusiano mazuri kati ya ofisi za kitendaji mkoani hapa hivyo  amewataka watendaji kushirikiana ili kutatua changamoto zilizopo.

Kwa upande wao baadhi ya watendaji kwenye halmashauri mkoani hapo wamesema kuwa kuna baadhi ya shule zilizopo maeneo ya vijijini zina walimu wachache, hivyo maagizo ya Mkuu wa Mkoa yatasaidia kuboresha sekta ya elimu mkoani Morogoro.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa