Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukatili wa kijinsia wachukua sura mpya

Ijumaa , 27th Nov , 2020

Katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, Mwanaharakati, kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, (LHRC), Joram Bwire, amesema kuwa yapo mambo madogo madogo ambayo inabidi yafanyiwe kazi ili kutomekeza ukatili wa kijinsia ikiwemo maboresho ya kamati zilizoundwa.

Pichani:Mfano wa mtu aliyefanyiwa kitendo cha ukatili

Akizungumza katika kipindi cha Supa breakfast, cha East Africa Radio, Joram Bwire amesema licha ya ukatili wa kijinsia kuonekana unazidi kushika kasi serikali imefanya juhudi mbalimbali kuhakikisha inaondoa tatizo hilo.

“Kuna mambo madogo madogo inabidi yafanyike kwamba hizi kamati inabidi ziboreshwe kwa kujengewa uwezo ili kurahisisha utendaji kazi” amesema

Aidha Bwire akizungumzia ukatili wa ukeketaji amesema kuwa katika kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa lazima chanzo chake kijulikane ili liweze kutatauliwa huku akisema kuwa  tatizo hili limechukua sura mpya ambapo watoto ufanyiwa ukeketaji mara tu wanapozaliwa hospitalini hivyo kuwalazimu kuweka ulinzi shirikishi hospitalini kwa ajili ya kudhibiti tatizo hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi