Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Ukiwa kiongozi utachafuliwa' - Rais Magufuli

Jumapili , 20th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewataka vciongozi aliowaapisha leo Ikulu kuwa wavumilivu na wasihofie kuchafuliwa na watu, bali wajikite zaidi kwenye kutekeleza wajibu wao kama watumishi wa Umma.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Ikulu jijini Dar es salaam wakati akiwaapisha Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Balozi, ambapo kazi ya uongozi inahitaji uvumilivu.

"Kazi za uongozi zinahitaji uvumilivu, zinahitaji kumtanguliza Mungu mbele, utasemwa, utachafuliwa lakini ndiyo kazi ya uongozi, naombeni katimizeni wajibu wenu kaangalieni haki, kaangalieni sheria kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote" amesema Rais Magufuli

"Kazi hizi ni lazima tuwatumikie wananchi wanyonge, juzi nilikuwa Mtwara kaimu wa TAKUKURU anafahamu  tulikuta malalamiko kuhusu kulipwa korosho,baada ya kumuagiza amekuta vyama ushirika 32 vilivyokuwa vinawadhulumu , wananchi wameibiwa Bil. 1. 2" amesema Rais Magufuli

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali