Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa Mawasiliano wachelewesha matokeo Mtwara

Jumanne , 4th Aug , 2015

Ukosefu wa mawasiliano katika baadhi ya maeneo mkoani Mtwara imetajwa kuwa ndio sababu iliyochang

Katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Bw. Shaibu Akwilombe akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika uwanja wa Fisi.

Ukosefu wa mawasiliano katika baadhi ya maeneo mkoani Mtwara imetajwa kuwa ndio sababu iliyochangia ucheleweshaji wa kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani.

Hayo yamezungumzwa jana na katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo, Shaibu Akwilombe, alipokuwa akitangaza matokeo ya awali ya majimbo sita kati ya tisa yaliyofanya uchaguzi.

Uchaguzi pia uligubikwa na udanganyifu wa hapa na pale ambapo mgombea mmoja alikutwa na karatasi ambazo zimeshtiwa tiki ofisini kwake ambapo hata lipoulizwa alikana kuzijua karatasi hizo.

Aidha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amefanikiwa kushinda katika jimbo la Newala mjini ambalo lilikuwa likiwaniwa na makada watatu huku Asnain Murji akishinda katika jimbo la Mtwara mjini kwa kura 10,055.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi