Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umoja wa Afrika watoa kauli maandamano ya Kenya

Jumanne , 28th Mar , 2023

Umoja wa Afrika umetoa wito wa utulivu na kutoa wito wa kufanyika mazungumzo kufuatia maandamano ya upinzani nchini Kenya ambayo yamegeuka kuwa vurugu na kusababisha vifo vya watu watatu tangu wiki iliyopita.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameitisha maandamano ya kupinga gharama kubwa ya maisha na kile anachokiita haki ya uchaguzi baada ya uchaguzi wa mwaka jana.

Katika taarifa, Mwenyekiti wa AU Moussa Faki Mahamat aliwataka  wadau kuwa watulivu na kushiriki katika mazungumzo ili kushughulikia tofauti zozote.

Alisema mwenendo wa uchaguzi wa mwaka jana ulifanikiwa na matokeo kuthibitishwa na Mahakama ya Juu.

"Mwenyekiti anasisitiza mshikamano wa jumla na kuunga mkono juhudi za serikali na watu wa Kenya zinazofanya kazi kuelekea umoja wa kitaifa, amani na utulivu nchini," ilisema taarifa hiyo.

Viongozi wa kidini wa Kenya pia wametoa wito wa mazungumzo yasiyo na masharti kati ya Rais William Ruto na Bw Odinga.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi