Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Undani wa sheria ya ugaidi Tanzania

Alhamisi , 16th Sep , 2021

Wakili Edson Kilatu amesema tangu mwaka 2001 baada ya Marekani kushambuliwa na Al Qaeda, dunia iliingia kwenye ajenda ya kupambana na ugaidi, ambapo Tanzania ilianzisha sheria mwaka 2002.

Wakili Edson Kilatu

Kilatu ameyasema hayo leo Septemba 16, 2021 kwenye kipindi cha Supa Breakfast kinachoruka East Africa Radio Jumatatu mpaka Ijumaa saa 12:00 hadi 4:00 asubuhi.

''Kwa mujibu wa sheria yetu ya ugaidi ya mwaka 2002 kifungu cha pili kinazungumzia sheria hii kwa upande wa Tanzania inatumika Bara pamoja na Zanzibar pia sheria hii inaruhusu hata makosa ambayo yamefanyika nje ya mipaka ya Tanzania,'' amesema Wakili Edson kilatu.

Aidha Wakili Edson ameongeza kuwa, ''Hivyo kwa mujibu wa sheria hii hata kama mtu amekamatwa nje ya mipaka ya Tanzania anaweza kufikishwa kwenye Mahakama kuu Tanzania au Mahakama kuu Zanzibar''.

Pia amesema kuwa ili mtu aweze kushitakiwa kwa kosa la ugaidi ni lazima Mkurugenzi wa Mashtaka aweze kuridhia mtu husika afunguliwe mashtaka na kuongeza kuwa kifungu cha nne cha sheria ya ugaidi ndio kina ainisha ni makosa gani au mambo gani yanaweza kupelekea kosa la ugaidi kwanza kufanya kitu chochote kinachoweza kupelekea hujuma au uharibifu kwa nchi ama shirika la kijamii.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi