Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Urais nitashinda tena kwa kura nyingi"- Magufuli

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli amewahakikishia wananchi wa Kibondo mkoani Kigoma kuwa katika uchaguzi mkuu ujao atashinda kwa kura nyingi kwani Watanzania wa maeneo yote wanamtaka yeye.

Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli

Dkt Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 17, 2020, wakati akiendelea na mikutano yake ya kampeni katika maeneo mbalimbali huku akisisitiza wananchi kumchagulia madiwani na wabunge kutoka chama hicho.

"Nitasikitika sana kama hamtanichagulia wabunge na madiwani wa CCM kwa sababbu mimi Urais nitashinda tu tena kwa kura nyingi sana na ninataka niwahakikishie kwa sababu watanzania maeneo yote wanamtaka Magufuli", amesema Dkt Magufuli.

Aidha Magufuli akatoa rai kwa wana CCM wale ambao hawakuchaguliwa kuwani nafasi katika uchaguzi mkuu ujao, "Naomba wana CCM wenzangu mliokosa nafasi msinunue, kuchaguliwa pia ni mipango ya Mungu, yule mbunge wa Busanda amegombea mara nne, miaka mitano iliyopita nikamteua kuwa DC mwaka huu ndiye anayegombea pale, hata mliogombea mwaka huu msikate tamaa".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali