Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utata waibuka mtoto wa miaka 16 kulawitiwa Mwanza

Jumatano , 20th Mar , 2024

Siku chache baada ya EATV kuripoti tukio la binti wa miaka 11 kufanyiwa ukatili wa kubakwa Jijini Mwanza, mtoto mwingine wa kiume (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa Buguku, Mkolani Jijini humo anadaiwa kulawitiwa.

Mtoto wa kiume (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa Buguku ambaye amelawitiwa

Mama mzazi wa mtoto huyo amesema tukio hilo lilitokea tangu tarehe 18 mwezi wa pili, lakini hadi sasa hakuna aliyechukuliwa hatua na Jeshi la Polisi huku akitakiwa kuwatafuta watuhumiwa mwenyewe.

"Maelezo yapo alichukuliwa katika kituo cha polisi Buhongwa na mpelelezi wa kesi hiyo ni wa pale kituo cha polisi Igogo, lakini nilishangaa aliponambia nenda nyumbani ila uwatafute hao watuhumiwa ukishawapata tu utupigie simu sisi tutakuja kuwakamata". Amesema mama huyo.

Baadhi ya majirani wameiambia EATV kuwa wamesikitishwa na ushirikiano mdogo walioupata kutoka kwa viongozi wao likiwemo jeshi la polisi, katika ufatilizi wa tukio hilo.

Naye kaimu Kamanda wa Polisi Mwanza Gideon Msuya,  akijibu malalamiko hayo kwa njia ya simu amesema ipo sheria inayoliongoza jeshi hilo hushirikiana na wananchi katika kuwasaka wahalifu. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma