
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk.Angeline Mabula
Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk.Angeline Mabula, mara baada ya ongezeko la ujenzi holela wa vituo vya mafuta visivyozingatia matakwa ya sheria ya mipangomiji na kanuni zake.
Katika hatua nyingine Dk.Mabula amesitisha kutoa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe wa Majiji, Manispaa ,Miji na kusitisha ugawaji viwanja kiholela unaopelekea taswira ya miji na kusitisha ugawaji viwanja kiholela unaopelekea taswira ya miji kuharibika.