
Taulo ya kike na Nepi
Vijana hao wamedai kwamba huchukua kemikali inayojulikana kama sodium polyacrylate kutoka kwenye bidhaa hizo na kuzichemsha na huunda utando wa kijivu na kuunywa mchanganyiko huo.
Kemikali hiyo nayojulikana kama sodium polyacrylate ndiyo inayotumika kunyonya damu ya hedhi kwenye taulo za kike 'pedi' na mkojo kwenye nepi za watoto 'diapers'.