
Mbunge wa Singida Magharibi Mheshimiwa Elibariki Kingu
Akizungumza na waaandishi wa habari Mbunge Elibariki amesema ni wakati sasa kwa viongozi wa siasa kuhakikisha wanashirikiana na wananchi katika kuleta maendeleo kwakua wananchi wamewachagua viongozi hao kwa lengo la kusaidiana katika kuleta maendeleo ya eneo husika hasa kwa makundi maalum.