Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Viongozi wananiuliza kama mzee analala' - Makonda

Jumanne , 11th Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, ameendelea kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Mgufuli kwa utendaji wake wa kazi na kwamba imefikia hatua hadi viongozi wa dini wanamuuliza kama Rais huwa analala kweli.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Makonda ameyabainisha hayo leo Februari 11,2020, wakati wa uzinduzi wa Wilaya ya Kigamboni kwa kuzindua ofisi ya Mkurugenzi, Mkuu wa Wilaya na Jengo la Utawala pamoja na Hospitali kubwa ya Wilaya.

'Viongozi wa dini kila siku wananiambia hivi mzee analala kweli, nawaambia analala kwa maombi yenu, unawaza Watanzania kuliko hata familia yako, unatufundisha ambayo hatukuwahi kujifunza, zamani tulikuwa tunanyosha mti kumbe kimvuli kimepinda, Mh Rais hata sisi vimvuli tumenyooka' amesema Makonda.

Aidha Makonda amewataka wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha siku ya Februari 14, wanajitokeza kwa wingi katika zoezi la uhuishaji wa taarifa zao katika daftari la mpiga kura 

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa