Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi watakiwa kusimamia miradi kikamilifu

Ijumaa , 29th Jul , 2016

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, amewataka viongozi wote wa Mikoa na Wizara washirikiane kwa pamoja katika kusimamia miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa mabomba makubwa ya usafirishaji ili kukuza uchumi wa nchi kupitia miradi hiyo.

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo.

Hayo yamebainishwa leo Jijini Dar es Salaam, na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, wakati wa ufunguzi wa Semina ya wakuu wa mikoa na makatibu wakuu wa wizara juu ya usimamizi wa miradi inayotekelezwa na wizara ya Nishati na madini.

Prof.Muhongo amesema endapo nchi ikitaka kufikia Malengo ya kuwa nchi ya kipato cha kati mpaka ifikapo mwaka 2025 basi hakuna budi kwa taasisi zote kushirikiana kwa ukaribu pamoja na wananchi katika kusimamia miradi ya Maendeleo.

Prof.Muhongo amesema kuwa serikali inafanya kila jitihada ya kukamilisha bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania, lakini pia ipo katika mpango wa kusambaza mabomba ya gesi nchi nzima ili nishati hiyo iweze kuwanufaisha Watanzania wengi zaidi kwa kukuza uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja.

Aidha Prof. Muhongo ameongeza kuwa Serikali inaendelea kufanya utafiti wa kutafuta rasimali ya mafuta na gesi katika maeneo tofauti ambapo kwa sassa wanampango wa kujadiliana na Congo(DRC), juu ya kufanya utafiti wa rasilimali hiyo ndani ya ziwa Tanganyika.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja