Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vyama vya siasa vyaonywa, hatua kali kuchukuliwa

Jumatatu , 21st Oct , 2019

Serikali wilayani Kilombero mkoani Morogoro imevionya baadhi ya vyama vya siasa, kuacha mara moja kutoa vitisho kwa wanachama na viongozi, ambao wamehama na kujiuzulu kwenye vyama vyao, kufuatia kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wakidai kuwa wanapokea taarifa za vitisho.

Nembo za vyama mbalimbali vya siasa

Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Kilombero James Ihunyo, wakati wa mkutano na watendaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapo, kwa ajili kujadili changamoto zinazowakabili, ambapo amesema kuwa amepokea taarifa za baadhi ya wanachama ambao wamehama vyama vyao kutishiwa usalama wao.

Kwa upande wake aliyekuwa Diwani wa kata ya Katindiuka kupitia CHADEMA, Furaha Mganya, amesema kuwa amesikitishwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakimfuatilia na kutaka kujua kwanini amejiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM.

Kwenye mkutano huo Mbunge wa viti maalumu kupitia (CCM) Dkt Gertrude Rwakatare, amegawa baiskeli 300 zenye thamani ya shilingi milioni 45, kwa watendaji wa CCM wilayani Kilombero ili kuwarahisishia watendaji hao utakelezaji wa majukumu yao, huku akiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Novemba 24 mwaka huu.

Zaidi Tazama Video hapo chini.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali