Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waandishi wapata mafunzo ya habari za Uchaguzi

Ijumaa , 14th Aug , 2015

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari wa mikoa ya Dar es Selaam, Lindi, Mtwara na Ruvuma wanapatiwa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu unakuwa wa amani na utulivu.

Mkufunzi kutoka Shirika la BBC Media Action, Ichikaeli Maro.

Akizungumza mara baada ya kufungua mafunzo hayo leo Mkoani Mtwara, Mkufunzi kutoka Shirika la BBC Media Action, Ichikaeli Maro, amesema uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa tofauti na chaguzi zingine zilizopita kutokana na kuwa na wagombea wengi na vyama vingi vya siasa huku muamko wa kisiasa kwa wananchi ukiwa juu.

Kwa upande wake, katibu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Dar es Selaam, Hussen Mgongolwa, amesema wapo baadhi ya waandishi ambao wanakumbwa na changamoto kutokana na kufanya kazi katika vyombo ambavyo wamiliki wake wanaushabiki na baadhi ya wanasiasa na kupelekea kuwaingiza katika matatizo

Mafunzo hayo yataendeshwa kwa siku tatu na Shirika la BBC Media Action kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kwa lengo la kuwafanya waandishi wahepukane na kuwa sehemu ya chanzo cha migogoro au vurugu zinazotokana na uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa