Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge wanne CHADEMA waibuka CCM

Alhamisi , 15th Nov , 2018

Wabunge wanne waliokuwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na baadaye kuhamia CCM na kushinda nafasi zao ubunge wameapishwa leo bungeni na Spika wa Bunge Job Ndugai na kuanza kuzitumikia nafasi hizo tena kupitia chama kingine.

Chama Cha Demokrasia na Maemdeleo (CHADEMA)

Miongoni mwa wabunge hao walioapishwa ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul, Mbunge wa Simanjiro James Ole Milya, Mbunge wa Ukerewe Joseph Mkundi pamoja na Mbunge wa Serengeti Marwa Ryoba.

Wabunge hao walikuwa ni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wakihudumu kwenye chama hicho kwa kipindi cha miaka 2 na nusu lakini baadaye walihama kutokana sababu mbalimbali ikiwemo kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli.

Akijibu swali la kwanza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewapongeza wabunge hao na kuwataka kutekeleza majukumu yao ya kihalali ya kuishauri serikali.

Nawapongeza wabunge wapya walioapishwa leo nawakaribisha hapa, mtekeleze majukumu yenu kama wabunge na sisi kama serikali tuko tayari kuwasikiliza” amesema Waziri Mkuu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi