Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge wapewa maelekezo mapya

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limewaagiza wabunge wote kuwasili jijini Dodoma, Januari 17, 2021, kwa ajili ya kuanza kwa vikao vya kamati za kudumu za Bunge zitakazoanza rasmi Januari 18 mwaka huu.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taarifa hiyo imetolewa na kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa cha Bunge, na kueleza kuwa kamati zote za kudumu za Bunge zitafanya uchaguzi wa wenyeviti na makamu wenyeviti.

Aidha wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge, watapewa mafunzo mbalimbali ikiwemo juu ya majukumu na taratibu za uendeshaji wa kila kamati, mafunzo kuhusu Bunge mtandao na usalama wa mitandao kwa kamati zote, pamoja na mafunzo kwa kamati za sheria ndogo kuhusu uchambuzi wa sheria ndogo na uzoefu wa mabunge mengine ya nchi zinazofuata mfumo wa kibunge wa jumuiya ya madola.

Mbali na mafunzo hayo pia kamati ya bajeti itapokea na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mapendekezo ya mpango wa maendeleo ya Taifa ya mwaka mmoja, mwongozo wa kuandaa mpango wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022, pia itajadili utekelezaji wa bajeti ya serikali pamoja na sheria ya fedha kwa kipindi cha nusu mwaka kwa mwaka wa fedha 2020/ 2021.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi