Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachimbaji wadogo walia na Rais Magufuli

Jumanne , 28th Mar , 2017

Baadhi ya wachimbaji wadogo ambao wanadai kuwa ni sehemu ya wamiliki wa makontena yaliyozuiliwa katika bandari ya Dar es Salaam yakiwa na shehena ya mchanga wa madini, wameiomba serikali kupitia upya zuio hilo kwa maelezo kuwa limeathiri biashara.

Wachimbaji wadogo wadogo wanaosafirisha nje ya nchi mchanga wenye masalia ya madini wakizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam hii leo

Wakizungumza katika mkutano na wanahabari leo Jijini Dar es Salaam, wachimbaji hao wamesema kimsingi hawapingani na uamuzi huo wa serikali bali wanaunga mkono kwani uamuzi huo unaotokana na agizo la Rais John Pombe Magufuli alilolitoa takribani mwezi mmoja uliopita, linayalenga makampuni makubwa na siyo wao ambao ni wamachinga kwenye sekta ya madini.

Wamesema tangu lilipotolewa agizo la kutosafirisha nje mchanga wenye masalia ya madini, wamekuwa wakipata hasara kubwa ambapo mmoja wa wachimbaji hao amesema anaingia hasara ya zaidi ya shilingi milioni nne kwa siku kutokana na kusitisha shughuli za uchimbaji huku akitakiwa kulipia wastani wa dola ishirini kama gharama ya utunzaji kwa kila kontena linaloshikiliwa pale bandarini.

Sehemu ya makontena ya mchanga yanayoshikiliwa bandarini

Kwa mujibu wa maelezo ya wachimbaji hao akiwemo Bw. Mohammed Mkwayu anayemiliki kampuni ya Kambi Mineral Resources inayofanya shughuli zake wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma na Bw. King Selemani anayemiliki kampuni ya Wit Mining inayofanya shughuli zake wilaya za Kongwa na Mpwapwa; zaidi ya kontena sitini za wachimbaji wadogo wadogo zimezuiliwa zisisafirishwe kwenda nje ya nchi na kwamba hatua hiyo imechukuliwa huku wakiwa na vibali vyote vinavyowaruhusu kufanya biashara hiyo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa