Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyakazi 5 wa Azam kuagwa leo

Jumanne , 9th Jul , 2019

Miili ya waliyokuwa wafanyakazi wa Azam Media ambao walifariki kwa ajali asubuhi ya Julai 8, 2019 eneo la Malendi Iramba mkoani Singida, inatarajiwa kuagwa leo katika makao makuu ya ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar es salaam.

Akizungumza kwa niaba ya uongozi wa Azam Media Yahya Mohamed amesema kwa sasa taratibu za utambuzi wa miili kwa ndugu bado zinaendelea, na baada ya hapo shughuli za kidini zitafuata ambapo, marehemu ambao ni Waislamu watapelekewa msikitini, na Wakristo wataelekea makao makuu ya Azam, kwa ajili ya kuagwa.

"Taratibu zinazoendelea ni kuandaa miili na tayari tumeshaandaa miili ya miwili, tukishamaliza miili yote tutaelekea ofisini Tabata, kupitia barabara ya Jangwani na kupita njia ya Kigogo, pale ofisini kutakuwa na shughuli maalum ya kuwaaga na kuwakabidhi ndugu zetu kwa familia zao." amesema Yahya Mohamed

"Tunaomba ndugu zetu Watanzania mjitokeze kushiriki mazishi pindi miili itakapokabidhiwa kwa familia kwa ajili ya taratibu za mazishi" amesema Yahya Mohamed

Miongoni mwa waliofariki kwenye ajali hiyo, Salim Mhando, Florence Ndibalema, Said Haji, Sylvanus Kasongo na Charles Wandwi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali