Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahamiaji haramu wakamatwa Kilimanjaro

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Jumla ya Wahamiaji haramu 47 raia wa Ethiopia na Somalia  wamekanatwa mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria 

Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia leo Agosti 11, 2022 saa 9 usiku wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ambapo inaelezwa walikuwa wakielekea nchini Afrika Kusini na Malawi 

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyeki wa ulinzi na usalama Nurdini Babu ameipongeza idara ya uhamiaji pamoja na jeshi la polisi  kwa kushirikiana vyema katika kuhakikisha mkoa wa Kilimanjaro unakua salama ikiwa ni pamoja na kuwabaini wahamiaji haramu wanaoingia kinyemela bila kufuata kanuni na taratibu

Akizungumza wakati wa ushushwaji wa wahamiaji hao haramu amesema wahamiaji hawakatazwi ila sio wahamiaji haramu na nchi ya Tanzania ni huru hivyo sheria na kanuni za uhamiaji ni vyema zikafuatwa.

Idara ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro  ikishirikiana na kamanda wa jeshi la polisi mkoa imeendesha oparesheni maalum katika mpaka wa Tanzania na Kenya iliyofanikisha kuwkaamata wahamiaji hao

Mkuu wa uhamiaji mkoani Kilimanjaro Edward Mwenda amewaambia waandishi wa Habari kuwa oparesheni hiyo inalenga kutokomeza wahamiaji hao kutumia Tanzania kama uchochoro
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa