Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakadiria na kubambikizia wananchi madeni ya maji

Alhamisi , 19th Mei , 2016

Mbunge wa Mtwara Mjini Maftaha Nachuma CUF ameeleza Bungeni Mjini Dodoma katika Mkutano wa Bunge unaoendelea kwamba watendaji wenye mamlaka ya kusoma mita za maji mkoani humo hukadiria na kuwabambikizia wananchi madeni.

Mheshimiwa Spika Wizara inafahamu jambo hili ambapo wakati waziri anakuja mkoani Mtwara wananchi walimpokea kwa maandamano wakieleza kero ya watendaji wa idara ya maji kuwabambikia madeni kwa kutosoma mita na badala yake kukadiria matumizi ya maji kwa wananchi hao jambo ambalo linazua malalamiko mengi, ni ipi kauli ya serikali juu ya jambo hili?

Kufuatia tuhuma hizo za Mbunge huyo Waziri wa Maji Mhandisi. Gerson Lwenge amesema jambo hilo ni baya na ni kinyume na sheria kwa kuwa kila mwananchi anapaswa kulipia maji kulingana na matumizi na sii vinginevyo.

Waziri Lwenge ameongeza kuwa kitendo hicho kinapaswa kuachwa kwani huko ni kuwaumiza wananchi na hivyo maagizo ya serikali yafuatwe kuanzia sasa.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri