
Baadhi ya wanafamilia
Wizara ya jinsia ilikuwa imetoa dola 20,000 sawa na zaidi ya shilingi 46,739,892 fedha za kitaznania zitakazogawanywa miongoni mwa familia hizo.
Mwenyekiti wa familia zilizofikwa na misiba hiyo Ebrima Sanyang, amesema pesa hizo ni "matusi kwa waathiriwa".Alisema kukubali fedha hizo kunatafsirika kuwa hawapiganii haki.
Familia hizo zinataka shirika la serikali la kudhibiti dawa kuondoa madai yake ya awali kwamba watoto hao walikufa katika maji ya mafuriko na sio kutokana na dawa mbovu.