Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima tumieni teknolojia kuhifadhi mazao-Fatma

Jumatano , 30th Dec , 2015

Wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara wameshauriwa kutumia teknolojia ya mifuko ya PICS inayotumika kuhifadhia mazao, kama njia bora ya kuyakinga ili yasiharibiwe na wadudu na kuachana na kutumia njia ya kemikali ambayo inaweza kuleta athari baadae.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Salum Ally

Akizungumza mkoani Mtwara katika semina ya kuwajengea uwezo wadaau wa kilimo juu ya matumizi ya teknolojia hiyo, mkuu wa wilaya ya Mtwara, Fatma Ally, amesema wakulima wengi hapa nchini wanakumbwa na changamoto ya upotevu wa mazao baada ya mavuno, na ndio wanaoathirika kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na serikali.

Aidha, amesema uwepo wa mifuko hiyo umetokana na kuwepo kwa wadudu waharibifu wanaoshambulia mazao ghalani hasa Dumuzi ambao uharibu mazao ya wakulima masikini katika nchi zinazoendelea, na kuwakwamisha wakulima wanaotegemea mazao hayo kwa chakula na biashara ili kuongeza kipato katika kaya zao.

Kwa upande wake, mshauri mwelekezi wa mradi huo ambao ulianza kufanya kazi mwaka 2014, Bernadetha Majebele, amesema mradi huo una malengo kadhaa kwa wakulima ikiwa ni pamoja na kuwafanya wakulima wadogo kujua namna ya kuhifadhi chakula chao na kukitumia baadae, na kuwatoa watanzania katika matumizi ya kemikali katika kuhifadhi mazo kwasababu ina athari kiafya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali