Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliokula fedha Bil 3.4 wakabidhiwa TAKUKURU

Jumanne , 20th Aug , 2019

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela amekabidhi ripoti ya mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali kwa kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Ukerewe, kufuatia ripoti hiyo kubainisha upotevu wa fedha za serikali zaidi ya shilingi bilioni 3.4.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela akimkabidhi ripoti ya mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Ukerewe.

Mkuu huyo wa mkoa ameyasema hayo katika kikao maalumu cha baraza la madiwani cha kujadili hoja za mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali wilayani hapo na kumwagiza kamanda wa takukuru wilayani hapo kuhakikisha hatua kali za kisheria zinachukuliwa kwa wote watakaohusika na ubadhirifu huo wa fedha.

''Haiwezekani mkawa watu wa hivi, kwamba mna Bil 3.4 za kula tu, kamanda wa TAKUKURU wa wilaya nenda kashughulikie hili na asionewe mtu'', amesema Mkuu wa mkoa.

Aidha amebainisha kuwa fedha hizo zilikuwa zikitakiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mwaka 2017/2018 katika wilaya ya Ukerewe.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali