Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walioonesha ubovu wa barabara Ngorongoro kukamatwa

Jumapili , 16th Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani humo kuhakikisha linawachukulia hatua stahiki wale wote walioshiriki katika zoezi la usambazaji wa video mitandaoni, zinazoonesha ubovu wa miundombinu katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

RC Gambo amesema kuwa haikuwa vibaya kukosoa ubovu wa miundombinu hiyo bali haikuwa jambo jema kusambazaa video hizo mitandaoni ili hali kuna viongozi ambao walipaswa kupelekewa taarifa hizo na suala hilo likapatiwa ufumbuzi.

"Changamoto hii ya barabara iko maeneo yote duniani sio Tanzania pekee, wapo baadhi ya watu kama Tour Guide ambao wamekuwa wakitoa taarifa bila kibali cha mamlaka husika, Mataifa mengine siyo kwamba hakuna mabaya, sema wanachagua ni kipi cha kupeleka Duniani, namuagiza RPC awachukulie hatua wale wote wanaochafua picha ya nchi, mimi nawachukulia kama wahujumu uchumi" amesema RC Gambo.

Hivi karibuni zilisambaa video mbalimbali katika mitandao ya kijamii, zikionesha ubovu wa miundombinu ya barabara katika hifadhi hiyo.

Tazama Video hii hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi