Picha ya mwanafunzi mwenye ujauzito
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Shaibu Ndemanga katika kilele cha siku ya Elimu ya watu wazima nchini, ambapo Mkoani Lindi kilele hicho kimefanyika katika Halmashauri ya Mtama.
Kwa upande wake Mariam Yusuph ambaye ni binti aliyerudi masomoni baada ya kupata ujauzito, anawasihi wengine kurudi shule kutimiza ndoto zao.

