Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopelekea DC kutumbuliwa wapigwa marufuku

Alhamisi , 17th Jun , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin Shigella, amepiga marufuku mgambo wa Manispaa hiyo kuhusika na operesheni yoyote ndani ya mkoa huo hususani za ukusanyaji wa mapato badala yake wabaki kuwa walinzi wa majengo na mali za Halmashauri.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin Shigella

Katazo hilo limekuja zikiwa zimepita siku kadhaa tu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliposhangazwa na mgambo kwa kitendo chao cha kuharibu, kuvunja na kuwapiga wafanyabiashara waliogoma kufanya biashara katika eneo walilopangiwa hali iliyopelekea Mkuu wa wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi wake kufukuzwa kazi mara moja.

"Kuanzia muda huu sitaki tena kuwaona migambo wakifanya operesheni zozote ndani ya mkoa huu, Meya na Mkurugenzi kama bado mnawahitaji endeleeni kuwatumia kwenye ulinzi wa majengo na mali za Halmashauri lakini suala la makusanyo ya mapato, watu wamejipanga vibaya, wame-park katikati ya barabara ziko mamlaka zilizopewa kazi hizo, mgambo siyo kazi yao kuwatoa wananchi kwenye maeneo wanayofanya shughuli zao," amesema RC Shigella.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi