Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliosoma shule binafsi wapatiwa mikopo

Alhamisi , 17th Oct , 2019

Jumla ya wanafunzi 1,890 waliosoma katika shule binafsi kwa ufadhili na wakathibitisha taarifa zao, Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESBL), kama ilivyokuwa imeagizwa na Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako wamekwishapatiwa mikopo.

Taarifa hiyo imetolewa leo Oktoba 17, 2019, na Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo Abdul-Razaq Badru, ambapo amesema kuwa mpaka sasa wamekwishatoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 113.5 kwa wanafunzi 30,675 wa awamu ya kwanza ya masomo kwa mwaka 2019/2020.

Katika makundi maalum pia tuna wanafunzi 1,890, sawa na asilimia 6 ya wanafunzi 30,675 wa awamu ya kwanza, ambao walisoma shule binafsi lakini kutokana na hali duni ya uchumi, walifadhiliwa na walithibitisha kwa kuweka nyaraka sahihi'' amesema Badru.

Aidha Badru amewataka waombaji wa mikopo, kufungua akaunti zao binafsi ili waweze kupata taarifa za mikopo kwa urahisi zaidi.

Pamoja na tovuti, wanafunzi wanaweza kufungua akaunti zao walizooombea mkopo mtandaoni maarufu kama SIPA na kuona walivyopangiwa na tunaanza kupeleka fedha vyuoni kesho kwa kuwa Serikali imeshatukabidhi Shilingi bilioni 125, ambazo tuliomba kwa malipo ya kati ya Oktoba hadi Disemba mwaka huu'' amesema Badru.

Kwa mwaka huu wa masomo, Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 450, zinazolenga kuwanufaisha jumla ya wanafunzi 128,285, kati yao zaidi ya wanafunzi 45,000 ni wa mwaka wa kwanza na wengine 83,285 ni wanaoendelea na masomo

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi