Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliosoma Sisimba kusakwa ili wachangie Vyoo

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema ukosefu wa vyoo katika Shule ya Msingi Sisimba ni aibu kwa waliosoma katika shule hiyo na hivyo ametoa wito kwa wananchi kuanza kuchangia ujenzi wa vyoo kabla yeye hajaanza kuwasaka wale waliosoma mahali hapo ili wachangie kwa lazima.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.

RC Chalamila ameongeza kuwa shule kubwa kama hiyo haina choo cha watoto wa kiume ,lazima itafutwe namna kwa watu waliosoma shule hiyo kuleta fedha kwa lazima.

"Tumekuja tuoneshane aibu tuliyoitengeneza, aibu ambayo shule kubwa kama Sisimba waliyosoma watu mbalimbali leo haina hata choo cha watoto wetu wa kike wala choo cha watoto wa kiume, lakini huko mtaani watu wanasema Serikali yao hiyo, lakini lazima tutafute namna ya wao kuchangia shule hii kwa lazima", amesema RC Chalamila.

Aidha RC Chalamila ameongeza kuwa, "Unajua muda wa kubembelezana sana katika Taifa hili umepitwa na wakati unafanya biashara Mbeya ndiyo umesoma Sisimba peleka Milioni 1, hiyo fujo nitaifanya muda si mrefu, hutaki kukaa Mbeya bora uondoke kwa sababu hapa napo tunajitosheleza".

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa