Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 10,273 shule za msingi hawajui kusoma

Jumamosi , 27th Aug , 2016

Ukaguzi uliofanywa na Wizara ya Elimu katika shule 6,831 za msingi mwaka 2015/16 umebaini kuwepo kwa wanafunzi 10,273 wasiojuajua kusoma wala kuandika.

Wanafunzi katika moja ya shule za msingi nchini wakiwa darasani

Jambo hilo limeilazimu Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi kutoa mafunzo kwa wadhibiti ubora wa shule 1,469 ili kuondoa tatizo la wanafunzi wanaomaliza shule wakiwa awajui kusoma wala kuandika.

Akiongea na waandishi wa habari hii leo jijini Dar es salaam Jijini Dar es salaam leo, Mkurugenzi wa Idara ya ya udhibiti Ubora wa Shule Bi. Merisela Wasena amesema baada ya kufanya utafiti katika shule za msingi 6,831 wamebaini idadi hiyo ya wanafunzi wasiojua kusoma wala kuandika katika shule 515 huku wasichana wakiwa ni 5, 263 na wavulana ni 5010.

Merisela amesema, hatua ya sasa imechukuliwa kupitia mpango wa ufundishaji na ujifunzaji wa kusoma, kuandika na kuhesabu KKK chini ya mtaala wa shule za msingi kwa darasa la kwanza na darasa la pili litawawezesha wanafunzi kufika darasa la nne wakiwa wanajua kusoma na kuandika hivyo kuondoa changamoto hiyo wafikapo darasa la saba.

Aidha, Merisela amesema wadhibiti ubora wamepewa mafunzo katika maeneo ya Udhibiti wa shule, uchambuzi wa mtaala, Muhtasari, Miongozo ya kufundishia KKK, umahiri wa kusoma, kuandika na kuhesabu.

Maeneo mengine ni pamoja na maandalizi ya ufundishaji upimaji unaozingatia umahiri na kuandaa zana za ufuatiliaji wa utekelezaji wa mtaala wa darasa la kwanza na la pili.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi