Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 500 wakimbia shule Mtwara

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Zaidi ya wanafuzi wapatao 500 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari Namikupa, Naputa na Tandahimba mkoani Mtwara hawajaripoti shuleni na kuleta sintofahamu kubwa miongoni mwa wadau wa elimu.

Wanafunzi

Kati ya wanafunzi 516 waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari katika shule hizo, ni wanafunzi 10 pekee ndio walioripoti shuleni mpaka sasa.

Akielezea juu ya kitendo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba, Sebastian Waryuba amewaagiza Watendaji wa Kata kuwatafuta wanafunzi hao na kuwapeleka shuleni huku akiwataka wazazi kuacha visingizio vya kutolipwa fedha zao kutowapeleka watoto wao shuleni.

"Tukiendekeza vitu kama hivi, jamii yetu itazidi kuwa duni na itadidimia kabisa, wazazi wanataka kupata kisingizio fukani, eti kwasababu hatujalipwa fedha za korosho wakati mheshimiwa Rais ametoa elimu bure", amesema Mkuu huyo wa Wilaya.

Shule ya sekondari ya Namikupe imewasajili wanafunzi 219 ambapo mpaka sasa ni mwanafunzi mmoja pekee ameripoti katika shule hiyo, huku shule ya Naputa wakiripoti wanafunzi 5 kati ya 137 na shule ya Tandahimba wameripoti wanafunzi 4 kati ya wanafunzi 160.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi