Meneja wa Taasisi ya Tulia Trust, Jackline Boaz amesema wameamua kutoa huduma hiyo bure ili kuwasaidia wananchi wasioweza kumudu gharama za matibabu ya macho
Amesema huduma hiyo matibabu ya macho ni jitihada za Spika wa Bunge na Mbunge wa Jimbo la Mbeya, Dk. Tulia Ackson kuwasaidia wananchi wake
Huduma ya macho inatolewa kwa siku tatu mfululizo kuanzia Decemba 9 mpaka 12 katika Shule ya Msingi Ruanda Nzovwe jijini Mbeya