Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi Njombe wapatiwa elimu ya Ebola majumbani

Jumatano , 5th Oct , 2022

Kufuatia Mji wa Njombe kuwa na mwingiloano mkubwa wa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kibiashara, Serikali kupitia idara ya afya imelazimika kuchukua tahadhali madhubuti dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa ebola kwa kuanza kutoa elimu kwa wananchi majumbani na katika mikusanyiko

Tanzania ni mshirika wa jirani na Uganda ambayo hadi sasa imeripotiwa na mikasa ya zaidi ya 44 ya wagonjwa wa Ebola huku vifo vikifika 23 jambo linaloisukuma serikali kuanza kuchukua hatua za kujikinga.

Katika kukabiliana na tishio la ugonjwa wa Ebola, Baraza la halmashauri ya mji wa Njombe linalazimika kumwita mtaalamu wa tiba katika vikae vyake ili kuendelea kuelimisha viongozi wa siasa ili wakatumie nafasi yao kuelimisha umma juu ya ugonjwa huo.

Awali akitoa elimu kwa watumishi na viongozi wa siasa hususani madiwani Dr Isaya Mvinge ambaye ni mratibu wa tiba halmashauri ya mji wa Njombe anaeleza visababishi,dalili na namna ya kujikinga na maradhi hayo.

Wakizungumzia manufaa ya elimu walitopatiwa juu ya ugonjwa wa ebora baadhi ya madiwani akiwemo Erasto Mpete na Tumaini Mtewa wanasema imekuja katika wakati muafaka na kwamba wanakwenda kuchukua hatua ya kuelimisha umma ili kunusuru maambukizi kutoka wageni.

Katika hatua nyingine baraza la madiwani limepokea wageni kutoka serikali ya ujerumani ambao wameingia mashirikiano na halmashauri ya mji wa Njombe katika utekelezaji mradi wa utunzaji wa mazingira utakaohusisha ujenzi wa vizimba na nishati ya umeme wa upepo na elimu wenye thamani ya zaidi bil 4.Kama ambavyo Sebastian Randig mmeneja mazingira wilaya ya Miltenberg na Emmanuel George katibu tawala Njombe anavyoeleza.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri