Moja ya mitaa ambayo ilikuwa na maandamano
Mwandishi wa East Africa Television jijini Nairobi Dennis Chisaka ameripoti kuwa wakazi hao wa Nairobi wameamua kuingia barabarani wakipinga mauaji holela ya raia.
Chisaka amefafanua kuwa waandamanaji wanadai mauaji hayo yanafanywa na polisi.
Hata hivyo hali inazidi kuwa shwari baada ya polisi kudhibiti.
Tazama Video hapo chini

