Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wakimbia hospitali kisa waganga wa jadi

Ijumaa , 15th Feb , 2019

Changamoto ya upatikanaji wa huduma za Afya katika kijiji cha Nyang’holongo Kata ya Nundu Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imekuwa kubwa, hali inayopelekea wananchi kukimbilia kwa waganga wa jadi kupata huduma hizo.

Baadhi ya vifaa vya waganga wa jadi

Imeelezwa kuwa sababu za baadhi ya wananchi kufuata huduma za matibabu kwa waganga wa jadi ni huduma za afya kuwa umbali mrefu kwani wanalazimika kutembea umbali wa kilomita 10 kwenda katika Zahanati ya kata jirani ya Bukwimba ama wanasafiri kwenda makao makuu ya Wilaya kwenye kituo cha afya Kharumwa takribani kilomita 25.

Marko Mwiyabule ni Mwenyekiti mwanzilishi wa kijiji hicho tangu mwaka 1974 na kustaafu mwaka 2004, ambapo  anasema wananchi wamekuwa wana mwamko hali iliyopelekea kuchangia  Sh. elfu sitini kwa lengo la kujenga zahanati ambapo afisa Mtendaji wa Nyang’holongo Masumbuko Robert amesema walifikisha milioni 22 ambazo walinyanyua boma.

Kutokana na changamoto hizo zinazowakabili wananchi, Mgodi wa Dhahabu wa Acacia Bulyanhulu kutoka Mkoani Shinyanga umeguswa na kutoa msaada wa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Milioni 67.

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale, Hamimu Gwiyama amesema kiongozi kutoka ngazi ya wilaya kwa mara ya mwisho alifika kijijini hapo mwaka 2005 yapata miaka 14 sasa.

Aidha uongozi wa kijiji umesema kuna wakazi wapatao 2598 na kwamba waliochangia fedha kama nguvu za wananchi ni wakazi 502 hivyo wamejielekeza kuleta msukumo zaidi ya ili watu wote washiriki kikamilifu kwenye miradi ya maendeleo.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa