Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wamkataa kiongozi wao

Jumamosi , 20th Apr , 2019

Wananchi wa Kijiji cha Igombola Kata ya Lupembe wilayani Njombe wamesema hawana Imani na Mwenyekiti wao wa kijiji aliyejulikana kw ajina la Josephati Kiluka kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maendeleo na kudai kuwa anafanya kazi kwa maslahi yake binafsi.

Wakizungumza kwa wakati tofauti wananchi hao wamesema hawana imani na mwenyekiti huyo kwa kubadili mahali ambapo miradi ya maendeleo na kuyapeleka sehemu ambayo ni tofauti na makubaliano ya wananchi.

Wananchi hao wameeleza kuwa licha ya kubadili miradi ya maendeleo na kuielekeza tofauti wamesema pia amehujumu miradi ya maji katika kijiji hicho na bado imekuwa na changamoto kutokana na usimamizi mbovu wa kiongozi huyo.

Akijibu madai hayo Mwenyekiti Josephati Kiluka amedai kuwa taarifa zilizotolewa na wananchi hao kuwa hazina ukweli, na kusema miradi hiyo imeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na baadhi ya viongozi kuweka siasa kwenye miradi hiyo.

"Tatizo kubwa wanasiasa kwa sababu huwa wanaongea kuwafahadaa wananchi, lakini miradi mingi ya maendeleo imekwamba kutokana kuwekwa siasa, lakini hayo madai wanayotoa dhidi yangu si kweli." amesema mwenyekiti huyo Josephati  Kiluka

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa