Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume huwaza ngono kila baada ya sekunde tano

Jumatano , 11th Jul , 2018

Utafiti umeonesha kuwa wanaume hasa vijana huwaza ngono muda mwingi kulinganiasha na wanawake au vijana wa kike kutokana na sababu za kisaikolojia.

Wanaume wa kiafrika

Akizungumza na www.eatv.tv mwanasaikolojia Dismas Lyaasa amesema kuwa wanaume kutokana na asili ya maumbile yao huwaza ngono kila baada ya sekunde tano mpaka saba.

"Kutokakana utafiti uliofanywa na taasisi ya uchunguzi wa masuala ya jinsia 'Kinsey Institute' kutoka Marekani chini ya daktari Alfred Charles Kinsey unaonesha kuwa mwanaume huwaza ngono mara mia tano kwa saa na mara elfu nane kwa siku sawa na saa kumi 16 ndani ya siku moja”, amesema Dismas

Aidha Dismas ameongeza kuwa jambo hili mara nyingi linawakumba wanaume ambao huelekeza mawazo yao kwa wanawake kila wanapokuwa karibu nao, na kwa ambao hawafanyi mazoezi ambapo miili ukaa kizembe na kusababisha ubongo kutopambanua mambo kwa wakati.

Hata hivyo Dismas amaeendelea kwa kusema matokeo ya jambo hili husababisha wengi kuanza kujihusisha na vitendo vya kujichua ‘masterbation’ na kupelekea wengine kuwabaka wapenzi wao au wasio wapenzi wao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya