Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wajasiriamali kukwamulia na UNCTAD

Ijumaa , 15th Jul , 2016

Hatua zilizochukuliwa na kamati ya kimataifa ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD kupatia kipaumbele wanawake kwenye biashara na maendeleo zimeanza kuzaa matunda na kudhihirisha kuachana na maneno kwenda kwenye vitendo.

Katibu Mkuu wa UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi

Akizungumza mjini Nairobi, Kenya kunakotarajiwa kuanza mkutano wa 14 wa kamati hiyo,Katibu Mkuu wa UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi ametolea mfano uwezeshaji wanawake wajasiriamali wa mboga za majani nchini Tanzania kuweza kuuza bidhaa hizo kwenye hoteli za kitalii.

Dkt. Kituyi amesema kuwa kwa mda mrefu Tanzania ilikua inaagiza mbogamboga kutoka Kenya hivyo watawezesha wanwake wajasiriamali kutoka nchini Tanzania wanaofanyabishara ya kilimo cha mbogamboga kuwezeka kulima mboga za kiwango na kutosheleza soko la kwa ujumla.

Ametaja hatua nyingine ni kuhakikisha wanawake wanashiriki kwenye mikutano na kuwasilisha mada ambapo kwenye mkutano huo kutakua na mada maalumu ya jinsi ya kuhamisisha Wanawake katika biashara Kimataifa.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri