
Mashine ya kuchapishia (Printer)
Hali hiyo imepelea mbunge wa Viti maalum mkoa wa Geita Rose Busiga, kutoa msaada wa kompyuta tano na mashine moja ya kuchapa mitihani ili kupunguza changamoto hiyo.
Akizungumza shuleni hapo mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo mkuu wa shule hiyo Guido Kyalyenda anasema kwa umbali waliokuwa wanasafiri ulikuwa unapunguza usalama wa mitihani waliyokuwa wanatunga kwa wanafunzi.
Tazama video hapa chini