Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasichana wafanya ngono kwa 1000

Ijumaa , 12th Aug , 2022

Wanawake wa Kijiji cha Katisunga wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi wamehofia ndoa zao kuvunjika kutokana na makundi ya wasichana wadogowadogo kuvamia Kijiji hicho na kufanya biashara ya ngono kwa bei chee ya shilingi 1000, huku wakipewa majina ya panya road na damu chafu.

Kijiji cha Katisunga

Wasichana hao ambao kwa umri wanadaiwa kuwa ni wadogo wanatoka katika maeneo tofauti tofauti ya mkoa wa Katavi ambapo kila siku majira ya saa 1:00 jioni huanza biashara hiyo wanayoifanya hovyo hadi kwenye milango ya watu inayosababisha kero kwa baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho.

Wakazi wa Kijiji hicho wameliomba Jeshi la Polisi kufanya msako mkali na kuwakamata wasichana hao ambao wanafanya biashara ya ngono hadharani kwa kulinda maadili ya watoto wanaoendelea kukua wasiharibikiwe.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame, akizungumza kwa njia ya simu amekemea vitendo hivyo na kuwataka wazazi kuwalea watoto katika maadili, kuwapeleka shule, kuwapa huduma za msingi huku akisisitiza kuwakamata watoto wote wanaofanya biashara hiyo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali