Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasimamizi mtihani la 7 waaambiwa chakuzingatia

Jumanne , 10th Sep , 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza kuanza kwa mitihani ya kuhitimu Darasa la Saba kwa watahiniwa 947,221, huku wavulana wakiwa 451,235 na wasichana wakiwa ni 495,986.

Katibu Mtendaji NECTA Dkt Charles Msonde.

Akitangaza tarehe ya Mtihani huo Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde, amewataka wasimamizi wa Mitihani, wazazi na wamiliki wa shule kutojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwani hawatosita, kuchukua hatua kwa yeyote atakajihusisha na vitendo hivyo, sanjari na kukumbusha umuhimu wa watoto wenye mahitaji maalumu.

''Wasimamizi wahakikishe wanalinda haki ya watahiniwa wenye mahitaji maalumu kwa kuwapa mitihani yenye nukta nundu, maandishi yaliyokozwa pamoja na kuwaongezea muda wa dakika 20 kwa kila saa kwa somo la Hisabati na dakika 10 kwa masomo mengine'', amesema Dkt Msonde.

Aidha kati ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani huo kuanzia kesho Septemba 11 hadi 12, watahiniwa 902,262 watafanya kwa lugha ya Kiswahili, huku wengine takribani 44,959 wakifanya mtihani kwa lugha ya Kiingereza.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali