Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasomi tukumbuke kuisaidia jamii yetu - Rebeca

Jumanne , 27th Sep , 2016

Mwanaharakati wa kupinga ndoa za utotoni nchini Tanzania Rebeca Gyumi amewataka vijana ambao wamepata nafasi ya kusoma na kupata elimu, kukumbuka kuisaidia jamii katika mambo yanayowakwamisha kimaisha.

Mwanaharakati Rebeca Gyumi akionesha tuzo aliyopewa na UNICEF akiwa katika studio za EA Radio

Rebeca ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali, Msichana Initiative linalotetea haki za wasichana kupata elimu, ameshinda tuzo ya Umoja wa Mataifa inayotolewa kupitia UNICEF katika kipengele cha mabadiliko ya kijamii.

Ametoa ujumbe huo alipokuwa katika kipindi cha SUPAMIX alipokuwa akielezea namna ambavyo ameweza kutambulika na kupewa tuzo na shirika la UNICEF kupitia Umoja wa Mataifa.

“Hakuna kitu kizuri kwangu kama kutumia elimu yangu kusaidia jamii ambayo nimeilelewa, mimi ni zao la jamii kuona kwamba elimu niliyopata kuna watu walijinyima ili mimi niweze kusoma, ndiyo maana natumia nilichokipata kuweza kurudisha angalau fadhila za jamii yangu” Amesema Gyumi.

Rebecca ameongeza kuwa ni vyema viongozi ndani ya jamii yetu wakiwafundisha vijana namna ya kuitumikia jamiii yetu kuliko vijana wa kitanzania kufundishwa na mataifa mengine juu ya namna ya kuwa kiongozi bora ndani ya jamiii kwa kuwa jamii ya kitanzania itaendelezwa na watanzania wenyewe .

Kutokana na ujasiri aliouonesha wa kufungua kesi dhidi ya serikali kuhusu sheria ya ndoa iliyokuwa inatoa fursa kwa mabinti wadogo kuolewa ndipo UNICEF ikaweza kumtunuku tuzo ya kutambua mchango wake, shughuli ambayo ilifanyika nchini Marekani.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi