Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaofanya ubaguzi kibiashara kufungiwa Z'bar

Jumatano , 27th Jan , 2016

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibari imesema itawafungia na kuwapokonya leseni wafanyabiashara watakaobainika kubagua wananchi kwa kisingizio cha kisiasa.

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed.

Kauli imekuja kufuatia taarifa kuzagaa ya kwamba tokea kutolewa tamko la kuridiwa uchaguzi kuna baadhi ya wafabiashara visiwani hawauzi baadhi ya watu wanapokwenda kwenye maduka hayo.

Tamko hilo limetolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed alipokua akizungumza na viongozi wa kiserikali wa mkoa wa kusini Pemba.

Aidha Mhe Abood amesema kuwa serikali imejipanga kuweka ulizni wa kutosha ili kuhakikisha amani na utulivu inadumu wakati wote wa Uchaguzi ,kuhesabu kura na hata baada ya Uchaguzi.

Hapo awali viongozi hao wa serikali wakiwemo mashekha pamoja na wazee wa CCM kumuomba waziri huyo kuweka ulizni wa kutosha wakati wa uchaguzi hasa katika maeneo ya vijijini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali