Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaoharibu mazingira Geita, kwenda jela miaka 2

Jumapili , 20th Sep , 2020

Katika Kusherekea siku ya usafi duniani leo Septemba 20,2020 wananchi mkoani Geita wamejitokeza maeneo mbalimbali ikiwemo katika vituo vya mabasi, taasisi za Elimu na barabara za mitaani kwa ajili ya kujitolea kufanya usafi huku wakitahadharishwa kuepuka kuharibu mazingira.

Wakazi wa Geita wakifanya usafi

Afisa mazingira wa halmashauri ya mji wa Geita, Albert Auson amesema kuwa  mwananchi yeyote  atakayeenda kinyume na hapo  ataadhibiwa  kwa kufuata sheria ya usafi na mazingira ambapo atakayekamatwa atalipa faini kuanzia laki mbili hadi milioni moja au kwenda jela miezi 24 au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa wakazi wa mkoa huo wamesema kuwa wameamua kufanya hivyo ili kupunguza magonjwa ya mlipuko ambapo  pia wamewatahadharisha wale wote ambao watakuwa wachafuzi wa mazingira kuwa sheria itachukua  mkondo wake.

"Wengi wametelekeza  maeneo kama haya ya hifadhi ya barabara na kuiachia manispaa ifenye usafi jambo ambalo si sahii mana hata manispaa kuna baadhi ya maeneo wanashindwa kufika,kila raia ambaye amezungukwa na maeneo ambayo ni machafu anapaswa kusafisha kwani mazingira ukiyatunza na yenyewe  yanakutunza’’, amesema Jonathan James.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya