Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaoingiza mifugo kwenye hifadhi, kukiona

Jumamosi , 22nd Oct , 2016

Serikali imewaonya wafugaji waishio kandokando ya hifadhi ya Serengeti kuacha mara moja kuingiza mifugo yao ndani ya hifadhi hiyo kwaajili ya kuchunga kwani maeneo hayo yametengwa kwaajili ya wanyama pori pekee na siyo kwa mifugo

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ,Mhandisi Ramo Makani.

Akizungumza na wafugaji na wananchi wa Kijiji cha Kijereshi kinachopakana na Pori la Akiba la Kijereshi wilayani Busega Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ,Mhandisi Ramo Makani amesema hifadhi za taifa hapa nchini hazina budi kulindwa na kutunzwa ili vizazi vijavyo viweze kuzifaidi.

Amesema baadhi ya wafugaji wa kijiji hicho na kijiji cha jirani wamekuwa wakiingiza mifugo yao katika pori hilo na katika hifadhi ya Serengeti nyakati za usiku na wanapokamatwa na askari huwapigia yowe na wengine hudai kuruhusiwa na viongozi wa kisiasa kuchunga huko.

Kwa upande wao wafugaji wa kijiji hicho wamesema eneo la Pori la Akiba la Kijereshi ni mali yao na kwamba kuna makaburi ya babu zao lakini wanashangaa serikali kulichukua na kwamba hawana maeneo ya kuchungia huku wengi wakikiri kuchungia mifugo yao maeneo ya hifadhini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi