Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma, James Manyama
Taarifa ya tuki hilo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma, James Manyama, na kusema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea na kuwataka wananchi kuendelea kutoa taarifa pindi waonapo dalili za uhalifu.






