Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto walipukiwa na mabomu, Waziri atoa majibu

Jumanne , 10th Sep , 2019

Mbunge wa Nungwi visiwani Zanzibar, Yusuph Hamis, amehoji juu ya mkakati wa Serikali katika kukabiliana na matatizo ya watoto kuokota mabomu, ili kuepusha vifo ambavyo vimekuwa vikitokea mara kwa mara jimboni kwake.

Mbunge Yusuph Hamis, amehoji swali katika vikao vya Bunge vinavyoendelea jijini Dodoma, ambapo ameomba kauli ya Serikali ili kumaliza tatizo hilo.

"Kule jimboni kwangu watoto wanaokota mabomu wakidhani chuma chakavu, mwisho yanalipuka, Serikali mnasemaje?" amehoji Mbunge wa Nungwi Yussuph Hamis.

Akijibu swali hilo Bungeni, Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi, amesema Jeshi la Wananchi Tanzania limeshatoa elimu juu ya kutookota vyuma vinavyong'aa, tangu ilipomalizika kwa vita ya Kagera.

"Baada ya vita ya Kagera, JWTZ ilitoa elimu ya kutookota vitu vinavyong'aa kwenye maeneo yaliyotiliwa mashaka, inashauriwa wananchi katika Mkoa huo wachukue tahadhari wanapoona vitu vyenye asili ya chuma." amesema Waziri Hussein Mwinyi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi